Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini kwake mjini Vwawa
Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa akiwa pamoja na Kamanda wa Polisi mkoani hapa akionesha moja ya mifuko ya Mbegu Feki iliyokamatwa kwa wafanyabiashara katika Mamlaka ya mji mdogo wa Mlowo.
Tuesday, 1 November 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment