Tuesday, 1 November 2016
HABARI KATIKA PICHA
Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa akiwaonesha waandishi wa habari moja ya mifuko ya mbegu feki iliyokamatwa katika mamlaka ya mji mdogo wa Mlowo leo mjini Vwawa
Mkuu wa mkoa wa Songwe Galawa akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani leo katika ofisi yake iliyopo mjini Vwawa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment