Social Icons

Wednesday, 21 December 2016

HABARI KATIKA PICHA KIKAO CHA RCC



Katika picha Katibu Tawala mkoa wa Songwe Elia Ntandu akitoa maelezo kwa wajumbe wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya mkoa (RCC) kabla ya kikao kuanza katika Ukumbi wa halmashauri ya Mbozi 




Mbunge wa Jimbo la Songwe Philp Mlugo akiteta jambo na Mbunge wa Mbozi Pascal Haonga leo katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Songwe kilichofanyika mjini Vwawa katika Ukumbi wa halmashauri

No comments:

Post a Comment