Social Icons

Thursday, 22 December 2016

ZIARA YA WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI KATIKA MJI WA TUNDUMA

 Viongozi katika meza kuu wakiongozwa na Mkuu wa mkoa Songwe Chiku Galawa wakati wa ziara ya Waziri wa Maji na Umwagiliaji Eng. Gerson Lwenge kushoto kwa Galawa wakisaini kitabu cha wageni
 Baadhi ya madiwani na watendaji wa halmashauri ya mji wa Tunduma wakimsikiliza Waziri wa maji na Umwagiliaji Eng. Gerson Lwenge  hayupo ichani alipokuwa akizungumza nao jana mara baada ya kuanza ziara katika mji huo
 Waziri wa Maji na Umagiliaji Eng. Lwenge akifungua jengo la ofisi ya Mamlaka ya maji mjini Tunduma
Sehemu ya mbele ya jengo la ofisi ya mamlaka ya maji Tunduma

No comments:

Post a Comment