Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni Mstafu Chiku Galawa alipomtembelea nyumbani kwa Mzee Ambilikile Panja katika kitongoji cha Izyika kata ya Ihanda wilayani Mbozi anayemfuatia ni Mkuu wa wilaya Mbozi John Palingo
Mkuu wa wilaya Mbozi John Palingo akimsalimia mzee Ambilikile Panja
Baadhi ya viongozi na waandishi wa habari wakiwa nyumbani kwa mzee Panja
Mkuu wa mkoa Songwe Chiku Galawa akimsemesha nenomke wa mzee Panja
Chiku Galawa mkuu wamkoa waSongwe akifurahi na familia ya mzee panja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment