Pichani ni Mashabiki wa mpira wa miguu kata ya Ihanda wakiwa wamelizonga goli ili washuhudie upigaji penati
Habari picha hapo Juu ni wachezaji wa Timu ya Hanseketwa iliyotwa Ubingwa wa Ligi ya Hasunga Cup baada ya kuichapa timu ya Saweya Jumla ya mabao 7 kwa 6 yaliyopatikana kwa njia ya penati
Hapo juu ni mmoja wa vijana ambao wamejiajiri katika kuzoa taka katika mji wa Vwawa
Wednesday, 18 April 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment