Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na vijana wanaopata mafunzo ya kilimo bora na ufugaji wa kisasa katika kituo cha Maendeleo ya Vijana – Sasanda kilichopo Kata ya Nyimbili, Mkoani Songwe alipofanya ziara kukagua maendeleo na miradi ya vijana katika kituo hicho.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira
na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akiteta jambo na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbozi Bi. Tusubileghe Benjamin (Kushoto). (Katikati)
ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Brigedia Jenerali (Mst.),
Nicodemus Mwangela.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akioneshwa na kupata maelezo ya vifaa vinavyotumiwa na vijana wa kituo cha Sasanda katika shughuli ya kuvua samaki.
No comments:
Post a Comment