Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa mwenye kofia kulia akiangalia mtambo wa kusafishia maji katika mradi wa maji Vwawa (Mantengu) alipotembelea jana ili kukagua maendeleo yake akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani Songwe.
Waziri Mbarawa akikagua ujenzi wa tanki la kusafishia maji katika mradi wa maji Vwawa
Katibu wa CCM mkoa wa Songwe Bi. Mercy Moleli akitoa neno la shukrani kwa Serikali ya awamu ya tano kwa Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa, hapo ni juu ya tanki la maji katika mradi wa maji Itumba Isongole, kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ileje Joseph Mkude
Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa akipokelewa na baadhi ya viongozi katika halmashauri ya Mji wa Tunduma alipowasili kukagua miradi ya maji.
Tanki la maji katika mradi wa maji wa Itumba - Isongole
Kisima cha maji ambacho kitatumika kusambaza maji katika mradi wa maji Tunduma ambao ni moja ya miradi iliyotembelewa jana na Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment