Social Icons

Thursday, 28 March 2019


Katika picha ni Mkuu wa mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali Mstaafu Nicodemus Mwangela (wa kwanza toka kushoro mwenye miwani na shati la kitenge), kulia kwake ni Meneja wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Benki ya NMB Straton Chilongola na wa mwisho kulia kwa Meneja wa NMB ni Mkuu wa wilaya ya Mbozi John Palingo, wakwanza kulia kwa RC ni Katibu wa CCM mkoa wa Songwe Bi. Mercy Moleli.

No comments:

Post a Comment